ST. THOMAS NYABULA SEC.
ADMISSION FORMS
Pakua fomu
Maelekezo
Maelekezo ya kununua fomu mtandaoni
Lipia
TSh 10,0000/=
kwenye namba ifuatayo
0676 396 959
0768 396 957
Acc No: 62310012148
Acc Name: St. Thomas Nyabula Secondary School
Tuma pesa kutoka kwenye simu yako kwa njia ya kawaida. Usitumie wakala / benki / lipa mfanyabiashara
Tutakapopokea malipo yako tutakutumia ujumbe kwenye namba uliyoitumia kufanya malipo. Ujumbe huo utakuwa na token.
Bonyeza
Pakua fomu
. Ingiza namba ya simu uliyotumia kufanya malipo.
Ingiza token tuliyokutumia kwa ujumbe mfupi
Ingiza majina mawili ya mwanafunzi kwenye sehemu husika. Kuwa makini, hutaweza kubadilisha ukishahifadhi taarifa
Hifadhi Taarifa
Pakua fomu. Ichape na ufuate maelekezo yake.
Imetengenezwa na
Kenosis Technologies